Video and Shared space for ads

CF

Sunday, January 20, 2013

Messi na Barcelona yake walakichapo kwa Real Sociedad katika La Liga

              Hatimaye baada ya mazoea ya ushindi wa kila mechi, wanaume wanaoongoza ligi ya Spain 'Barcelona' na mtabe wao Messi wamekanyaga sumari la moto; walipokubali kichapo cha 3-2 kutoka kwa Real Sociedad. Hii ikiwa ni mara ya kwanza katika msimu wa La Liga kwa watabe hawa kufungwa. Kama Kawida yao, Messi alianza kuzifumania nyavu akipokea pasi kutoka kwa Andres Iniesta na baadaye Pedro aliunganisha cross ilotoka kwa Dani Alves na kufanya mpaka mapumziko Barcelona waongoze 2-0. Katika kipindi cha pili, winga wa Uruguay 'Gonzalo Castro' alifumania nyavu na kuipa timu yake goli la kwanza. Castro alitwanga bao la pili baada ya Pique kupata kadi ya pili ya njano na kutolewa. Katika dakika za lala salama, Agirretxe aliteleza kumalizia mpira na kuwapa ushindi Real Sociedad wa 3-2. Hii ni timu ya tatu kutoa kichapo kwa Barcelona. Inaungana na Real Madrid katika 'Super Cup' ya Spain na Celtic kwenye 'champion league'.

Orange AFCON 2013 Yaanza Bila Magoli

Mashindano yalokuwa yakisubiriwa kwa hamu na shauku yamezizima nyoyo za washabiki walokuwa wakisubiri kuona timu kubwa kama Africa ya Kusini ikiicharaza Cape Verde katika mechi ya ufunguzi. Lakini mambo haya kuwa mambo, wanasema mtoto kakataa kutumwa dukani. Kalilia waende wote....Wachunguzi wa
masuala ya mpira wanasema ya kwamba yawezekana timu kubwa kama Afrika ya Kusini hawaja jiandaa vya kutosha "Wakidhania mpira ni lelemama" au Cape Verde walijiandaa kuikabili timu ya Mkongwa Nelson Mandela vilivyo. Wakitumia 'tactics' za kuharibu mpangilio wa pasi za mashambulizi ya Afrika ya Kusini. Kwa mtizamo wa wachambuzi hao ni

Hawa Ndio Yanga waliompiga Leopard 3-2

           Hawa ndio Yanga, wanna wa Jangwani. Wazee wa Ngamia.....Toka lini uliona chui akifanya mawindo jangwani? Jamani ukiona anajisifia sana ujue hana huyooooo......kitu empty set....mpaka ujiite Chui Mweusi Mwenye Makucha "Black Leopard's claws" inamaana kwani haijulikani kama Chui anakucha. Oooooh nshajua hizi kucha zao zitakuwa zimebandikwa kwa juu tu,zile za mapambo. Wana haki ya kuzisifia maana sio original.
Hii ilikuwa sababu tosha ya Black Leopard's claws kukubali kichapo cha bao 3 kwa 2. Warudi kwao Sauzi wakajifunze mpira. Mambo ya Uturuki hayo.....yeshaanza kuonekana. Wengine mjishike.........mjishike haswa!

Thursday, January 10, 2013

Who would you prefer to be the next signing for Man Utd

Frank Lampard (Chelsea)
Wilfried Zaha (Crystal Palace)
Wesley Sneijder (Inter Milan)
Luka Modric (Real Madrid)
Sven Bender (Borussia Dortmund)

Swansea striker Michu

 Meet Michu, the Spaniard who has scored 16 goals for Swansea in this season. A talented 26 years old who has created a name for himself of which before this he worth only £2m as he moved from Rayo Vallecano during summer. But now according to the Swansea manager Michael Laudrup, the price tag is £30m if any club wants to negotiate a January transfer window.
Laudrup boast by saying, 
"It was the bargain of the season. We know that,"
"There are not many clubs who can buy him." 
"I cannot see who can sign him because there are very few clubs, but in the summer, you never know."
"He has one chance, it's one goal. That is top a class centre forward"

FIFA Best Team of 2012 "FIFA FIFPro World XI in 2012"

More than 50,000 professional players were invited by FIFPro from all over the World to select their best team of 2012. The outstanding players that out-shined the rest of the players in all football pitch allover the World. 
FIFA FIFPro World XI in 2012 is
Iker Casillas (Spain); Dani Alves (Brazil), Marcelo (Brazil), Gerard Piqué (Spain) and Sergio Ramos (Spain) in defence; Xabi Alonso (Spain), Andrés Iniesta (Spain) and Xavi Hernández (Spain) in midfield; and Cristiano Ronaldo (Portugal), Radamel Falcao (Colombia) and Lionel Messi (Argentina). 


King Of South American Football Award 2012 - Neymar Jr

 The Prestigious award “Rey del fútbol de América” or “King of South American Football” 2012 awarded by Uruguayan newspaper went to Neymar Jr a.k.a "Pagode Party king". Neymar essentially won the Best Player of 2012 chosen by 300 journalists from different media around the region. 

Sunday, January 6, 2013

Demba Ba the Fruitful signing for Chelsea in the whole Season

              Just a day after signing a three and a half year contract with Chelsea, Demba Ba assures his new boss he hasn't made a blunder in bringing this talented Senegal to Stamford Bridge. In the match against Southampton 'FA Cup', Demba Ba scored two goals, assisting his team to win 5-1. This is another Drogba at Chelsea but better. Torres took 732' to register a score but Ba took only 35' to make his terms of play clear. Does this raise a question about the Future of Torres? Does this mean Demba Ba has helped Torres to sign a mini contract with the Famous Chelsea Bench? All in all,

Phil Jackson Engaged Jeanie Buss

 At last after quite a long time, Uncle Phil Jackson 'A legendary to be couch' has made up his mind and decided to engage aunt Jeanie Buss 'Lakers executive vice president'.
Does this explains why he might not sign a new contract with Lakers as he is about to be part of Lakers family? This is a question we shall find out as time goes by. For now we just say Congratulations to the couple that has waited for so long. And please don't wait for us to be older than we are for us to hear your church bells. 
 That't the beautiful ring she was waiting for.
Buss told ESPNLosAngeles.com 
"I'm beyond happy,I really didn't want it to be news, but

RVP Saves Man Utd to Make it 2-2 Against West Ham 'FA Cup'

                  The game started by Tom Cleverly in the 23' giving Man Utd a lead of which never stood for long until in the 27' J. Collins equalized with a header goal receiving a brilliant cross from J. Cole. Until half time it was Man Utd 1 and West Ham 1. In the 59', J. Collins gave Home time 'West Hum' a lead, with the same combination a cross from J. Cole and J. Collins placing a ball in the nets by header. 
Robin van Persie a.k.a Van Goals made it clear,
         "It's not over for United until the Referee blows the whistle....other wise game on".

FA Cup Third Round

West Ham 2-2 Man Utd
Aldershot 3-1 Rotherham
Aston Villa 2-1 Ipswich
Barnsley 1-0 Burnley
Blackburn 2-0 Bristol City
Bolton 2-2 Sunderland
Charlton 0-1 Huddersfield
Crawley 1-3 Reading
Crystal Palace 0-0 Stoke
Derby 5-0 Tranmere

Wednesday, January 2, 2013

Nokia 808 PureView Imaging Technology

Was awarded the European Mobile Photo Achievement of the year 2012-2013
By The European Imaging and Sound Association "EISA"
The Nokia PureView uses high-resolution 7728 x 5368-pixel-sensor 
that produces images containing up to  38 or 32 million-pixels.

HTC One S

Was awarded the European Social Media Phone of the year 2012-2013
By The European Imaging and Sound Association "EISA"
The slim body shell of HTC One s 
is molded from a single peace of molded aluminum, 
treated using "micro arc oxidation" 
for a black finish smooth to the touch.
A phone power is driven by a dual core processor of 1.5GHz,
With an LED flash and a camera with 8-million-pixels,
A special social widgets supported by HTC sense's graphic user interface.   
 

Focal Spirit One

 Focal Spirit One
Was awarded the European Mobile Headset of the Year 2012-2013
By The European Imaging and Sound Association "EISA" .
The high quality material used
 in the construction of closed back Spirit one 
making it light and comfortable to wear.
The detachable anti-winding is supplied with inline remote controller.

Samsung Galaxy S III

Samsung Galaxy S III
Was awarded the European Mobile Phone of the year 2012-2013
By The European Imaging and Sound Association "EISA" 
Equipped a vast number of technology introduced to the android environment
It has a powerful Quad core processor 1.4GHz,
Voice and gesture control,
Smart stay feature that tracks eye movement to keep the display awake.
Well done Samsung